Skip to main content

Posts

Showing posts from May, 2015

JINSI YA KUANDAA NA KUTAYARISHA DAWA LISHE YA KUONGEZA ,KURUTUBISHA NA KUNENEPESHA MWILI :

MAZIWA  FRESH   Dawa-lishe   ya   kuongeza, kurutubisha   na   kunenepesha   mwili, ni   dawa   maalumu   kwa   watu   wenye   uzito   wa   chini   (   Under weight ) ambao   wanataka   kuongeza   mwili   na   uzito. ASALI  YA  TENDE Dawa   hii   huwasaidia   watu   ambao   miili   yao   imedhoofu   kutokana   na   sababu   mbalimbali   kama   vile   kuugua   magonjwa   na   maradhi   mbalimbali. Na   kwa   wale   watu   wembamba   ambao   wanataka   kuongeza   miili   yao, dawa   hii   huwasaidia   vizuri   sana. FAHAMU   JINSI NA   NAMNA   YA   KUANDAA NA   KUTAYARISHA     DAWA-LISHE   MAALUMU    YA   KUONGEZA, KURUTUBISHA   NA   KUNENEPESHA   MWILI. MAHITAJI     YA   DAWA –LISHE i.            Dawa –lishe vijiko   viwili vikubwa. ii.          Asali   ya   tende   vijiko   vitano   vikubwa. iii.        Tangawizi   ya   unga   vijiko   vikubwa   viwili iv.        Unga   wa ufuta v.          Maziwa   fresh nusu   lita vi.

ONDOA ( UPARA )UALAZA NDANI YA SIKU TISINI..

Una   tatizo   la   upara (   ualaza ), una   tatizo   la kunyonyoka   nywele ?Kama jibu   ni    ndio   basi hii   ni   habari   njema sana   kwako. Neema   Herbalist   ni duka   linalo uza dawa   asilia   za aina   mbalimbali.   Tunawatangazia   wateja wetu   pia,tunayo   dawa nzuri,   inayo   ondoa   upara   ( ualaza ) Dawa   ni   ya   asili   kabisa   (   pure   herbal ), haina   kemikali yoyote   wala   side effect   kwa   mtumiaji   na   inaondoa   na   kumaliza   kabisa   tatizo   la ualaza   (   upara   )   ndani   ya   siku   tisini. Pia inawasaidia   wanao   kabiliwa   na   tatizo   la kunyonyoka kwa nywele   na   husaidia   kumaliza   tatizo   la   kukatika   kwa   nywele. Hurefusha   nywele   na   kuzifanya   kuwa   na   afya. Tunapatikana   jijini   DAR   ES SALAAM, eneo   la   UBUNGO   karibu   na   UBUNGO   PLAZA.     WASILIANA NASI   KWA   SIMU   0766 538384.