Skip to main content

FAHAMU KUHUSU BIASHARA YA MASAJI.





Masaji ni nini? Ni neon  linalotumika kuelezea utalaam wa kunyumbua (kubonyeza, kusugua, kukanda) ngozina misuli ya mwili.



Mtaalam wa masaji mara nyingi hutumia viganja vya mikono lakini  wanaweza kutumia sehemu nyingine za mwili kama vidole, viwiko hata miguu ilikuleta matokeo yanayohitajika.

Pia kunavifaa mbalimbali vilivyotengenezwa kwa mbao, plastick na baadhi hutumia umeme.(kama vile electronic massage beds and chairs). Pamoja na vifaa vyote hivyo mikono ya binadamu ndio inasemekana kuleta matokeo mazuri zaidi.

Hii ni taaluma ambayo ipo tangu enzi na sehemu nyingine katika nchi za  Asia unakuta kila familia ina angalau mtu mmoja anayeweza kuifanya kazi hii kwa ustadi.

Nimewahi kusikia sehemu za Zanzibar wakiwaita “wakandaji.”

Masaji imewekwa kwenye kundi la tiba mbadala ingawa imekuwa ikitumika hata kwenye tiba za kisasa (katika hospitali n.k).

Biashara ya masaji ikijumishwa na biashara nyingine za ‘Wellness” ni ya mabilioni ya dola vikiwemo vifaa, mavazi ya wahudumu, mifumo ya kompyuta kwa ajili ya usimamizi wa senta na mafuta mbalimbali ya kiasili ambayo hutumika. Nchi nyingine tiba ya masaji imeongezwa kwenye bima za afya na imekuwa ikipendekezwa na madaktari.

Taaluma ya masaji imekuan sana kwa sasa ambapo kuna masaji maalum kwa ajili ya vichanga na wajamwazito.

Kwa mfumo wa maisha ulivyo sasa na pia kutokanana kukua kwa vipato ni dhahiri biashara ya masaji itaendelea kushamiri na kuwa muhimu katika maisha ya kila siku.





Faida za masaji: Masaji ina faida nyingi mwilini moja kuu ni husaidia kuongeza mzunguko wa damu mwilini na kupelekea kutibu hali mbalimbali hasa msongowa mawazo na msongo wa misuli.


Navyoiona biashara ya masaji Tanzania: Kwanza inakua kwa kasi, sasa hivi hoteli nyingi kisasa zina vitengo vya masaji. Huko angalau kuna utaratibu na ustaarabu unaotakiwa na wahudumu wana utaalaam/ elimu kuhusu masaji.

Lakini pia naona kuongezeka kwa watu wanaotambua umuhimu wa masaji na wanaoweza kutoa hela ili wapate huduma hii. (Massage is not cheap).


Ukiondoa sehemu ya hali ya juu, huku kwingine tumekuwa na sehemu za masaji ambazo baadhi zinajitahidi kuwa za kitaalam ila nyingi zinalalamikiwa kutumiwa kama mlango wa biashara nyingine.

Masaji ni taaluma, unahitaji kwenda shule ili ufahamu unachokifanya kwenye mwili wa binadamu kujua misuli ya mwili, milalo nakazi zake.

Mara nyingi kazi ya masaji imefananishwa kama tu kitu cha kuonyeshwa halafu unajua (look and do), hapana.

Kwa hiyo bado suala la kuwa mfumo wa kuandaa wataalam hawa hatunao .Na kwa kukosekana taaluma hii pia tunaona mapungufu makubwa katika masharti kwa watoaji wa huduma hii.

Unakuta mhudumu amefuga kucha refu, amevaa mavazi yanayoonyesha sehemu za mwili wake n.k.

Katika nchi zilizoendelea wataalam wa masaji (massage technicians, massage therapists  ) wamekuwa wakilinda sana taaluma yao kwa kuweka masharti ambayo hufuatwa na kila mmoja wao.

Kuna utitiri wa watu wanaotoa huduma hii ndivyo sivyo- quacks).


Ushauri kwa wanaoona fursa ya kibiashara


1. Eneo lako la biashara liwe mahali ambapo ni pa kuaminika sio vichochoroni. (kwa mfano uwe na ample parking na security)


2. Gharamia muonekano wa kitu chako cha masaji (muonekano, vifaa, vitanda, sehemu ya kusubiri wateja). Weka mandhari nzuri ndani ya vyumba, decorate pawe na reception ambayo mteja atakuwa huru kusubiri. Pia uwe na receptionist anayeweza kupokea appointments za wateja.

3.Vyumba viwe na mpangilio mzuri,vifaa visafi shuka na mataulo. Pia hakikisha unaweka vitanda vile maalum kwa  ajili ya masaji kama vinavyoonekana kwenye picha.
Vyumba viwe nadhifu.

Katika   Makala  yanayo  kuja  tutaelezea  namna  wasichana  wanavyo  tengeneza  mamilioni  jijini  Dar  Es  salaam  kupitia  biashara  ya  masaji

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA