Skip to main content

JINSI YA KUANDAA NA KUTAYARISHA LISHE YA KUONGEZA NA KUNENEPESHA MWILI.







Lishe  ya  kuongeza  na  kunenepesha  mwili ni  lishe  maalumu  kwa  ajili  ya   mtu  anaye  taka  kuongeza  ama  kunenepesha  mwili  wake kwa  kutumia  lishe  pekee  bila  kulazimika  kutumia  dawa  za  kuongeza  ukubwa  wa  maumbile  zenye  kemikali  na  side  effects  mbalimbali. 

Lishe  huongeza  na  kunenepesha  maeneo  mbalimbali  ya  mwili  wa  mtumiaji  na  kumuongezea  mvuto wake.

Ifuatayo  ni  namna   na  jinsi  ya  kuandaa  na  kutayarisha  lishe ya  kuongeza  na  kunenepesha  mwili.



MAHITAJI :
i.                 Dawa   Ya  Lishe.
ii.                Asali  ya  tende  lita  moja
iii.              Vijiko  viwili  vikubwa   vya  tangawizi  ya  iliyo  sagwa.
iv.             Unga  wa  lishe.
v.               Maziwa   fresh  lita  moja.




JINSI   YA   KUTENGENEZA   ASALI   YA   TENDE .
Chukua  robo  ya  tende, kasha  changanya  na  lita  moja  ya  maji, halafu  iache  usiku  kucha. Ikifika  asubuhi  chuja, makapi  weka  pembeni  upate  juisi  yako.



MATAYARISHO   YA   LISHE   YA  KUONGEZA  MWILI.

Chukua   lita  moja  ya  asali  ya  tende, changanya  na   lita  moja  ya  maziwa  fresh, pamoja  na  vijiko   viwili  vikubwa  vya   tangawizi  iliyo  sagwa,  halafu  ongeza  kijiko  kimoja  kikubwa  cha  DAWA LISHE  yako, kisha  koroga  pamoja  na  uji  wa  unga  wa lishe  hadi  utakapo  iva.  Uji  wako  ukiiva, ipua  na  u uhifadhi  katika  chupa.

MATUMIZI:

Tumia   nusu  lita  ya  lishe  yako  mara  mbili  kwa  siku.  Nusu  lita  asubuhi  na  nusu  lita  jioni. Utafanya  hivyo  kwa  muda   wa   siku  thelathini.


MABADILIKO  :

Pamoja  na  kwamba, lishe  hii  inatumika  kwa  muda  wa  mwezi  mzima  lakini  mabadiliko  yanaanza  kuonekana  ndani  ya  siku  kumi  angu  mtu  aanze  kutumia  lishe  hii.  Mabadiliko  huendelea  kuonekana  kadri  mtu  anavyo  zidi  kutumia  lishe  yake.


NB :
·       Kama  utataka  kuongeza  zaidi, unaweza  kuendelea  na  dozi  yako  hata  baada  ya  kumalizika  kwa  siku  thelathini  mpaka  hapo  utakapo  fikia kiwango  utakacho  ridhika  nacho.
·       Kama   unataka  pia  kunawirisha  na  ngozi  yako, unaweza  kuongeza  na  robo  kilo  ya  karoti  iliyo  sagwa  katika  mchanganyiko  wako. Baada  ya  siku  thelathini  za  dozi  yako, pamoja na  kuwa  umetengeneza  shape, lakini  pia  utakuwa  na  ngozi  iliyo  nawiri.
·        
Kwa   mahitaji  ya  dawa  ya  lishe  ya  kutengeneza  shape  ya  mwili, wasiliana   na  Neema  Herbalist  kwa  simu  0766538384  

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA