Skip to main content

TANGAZO MAALUMU LA KUUZA VIWANJA KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KINONDONI







Halmashauri  ya  Manispaa  ya  Kinondoni  ina  viwanja    katika  eneo  la  Mabwepande  ikiwa  ni  mwendelezo  wa  mradi  wa  upimaji  viwanja  20,000  jijini  Dar  es  salaam. Halmashauri  inatarajia  kuuza  fomu  za  maombi  ya  kununua  viwanja  vipatavyo  1010  kwa  utaratibu  ufuatao.

i.             Fomu  za  maombi  kununua  kiwanja  zitaanza  kutolewa  tarehe  14/04/2014  hadi  tarehe  28/04/2014  katika  ofisi  za   Manispaa  Mwananyamala.
ii.           Mwombaji  atalipia  ada  ya  maombi  kiasi  cha  shilibgi  elfu  thelathini  tu ( Tshs  30,000/=)  ( Fedha  hizo  hazitarejeshwa )
iii.         Mwisho  wa  kurudisha  fomu  na  kuziwasilisha  zikiwa  zimebandikwa  picha  3  za  passport  size  ni  tarehe  06/05/2014.

iv.         Wakazi  wenye  nyumba  na  mashamba  ndani  ya  eneo  la  mradi  ambao  walitambuliwa  kabla  ya  zoezi  la  upimaji  kuanza, nao  wanatakiwa  kununua  fomu  za  maombi  kwa  utaratibu  ule  ule  ulio  ainishwa  hapo  juu.

v.           Waombaji  watakao  pendekezwa  kuuziwa  viwanja  watapaswa  kulipa  malipo  yote  ndani  ya  siku 14  baada  ya  kukabidhiwa  Ankara  za  malipo, baada  ya  muda  huo  maombi  hayatashughulikiwa  na  kiwanja  kitatolewa  kwa  mwombaji  mwingine.

vi.         Ukubwa  wa  viwanja


UJAZO  WA JUU ( HD )
UJAZO  WA  KATI ( MD )
UJAZO WA CHINI ( LD )
400 sqm -600sqm
600sqm-1200sqm
1201sqm-2500sqm

JEDWALI   LA  UFAFANUZI   WA  GHARAMA.
S/N
Aina  Ya  Matumizi
Kiasi Tshs/mita za mraba
1.
Makazi
10,000/=
2.
Makazi  na Biashara
15,000/=
3.
Biashara
25,000/=
4.
Huduma  za  Jamii
10,000/=
5.
Ibada/Kuabudia
10,000/=
6.
Viwanja  vyenye  nyumba  ( kwa  wenye  nyumba  walio  tambuliwa  kabla  ya  upimaji   )
5,000/=
7.
Petrol  Station
MNADA
8.

Viwanda  vidogo
( servive  trade  )
30,000/=

Imetolewa  na  MKURUGENZI  MANISPAA  KINONDONI.

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA