Skip to main content

SABABU KUMI NA NANE ( 18 ) KWA NINI UNATAKIWA KUPUNGUZA UZITO.







Unene  ni tatizo  linalo  wakabili  watu  wengi  duniani. Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, unene  una  madhara  makubwa  kuliko  inavyo  dhaniwa.
Hizi  ni  sababu  18  kwa  nini  unatakiwa  kupunguza  unene.

1.    Unene  unaongeza  kiwango  cha  mafuta  mwilini, ambayo  huongeza  uwezekano  wa  kupata  kansa.

2.  Unene  unaongeza  mafuta  mwilini, ambayo  hufanya  matibabu  ya  kansa  kuwa  magumu  zaidi.

3.  Unene  huongeza mafuta  mwilini  ambayo  hushinikiza  na  kuubana  moyo.

4.  Mtu mnene  huwa  mvivu  kufanya  mazoezi, suala  ambalo  humuongezea  zaidi  unene.

5.  Mafuta  mengi  mwilini  yana  madhara  kwa ubongo.

6.  Unene  huongeza  uzito  katika  mifupa  na  viunga  vya  mifupa  ( bone  joints )

7.  Unene  husababisha kibofu  cha  mkojo  kibanwe  suala  linalo  sababisha  matatizo   mbalimbali  ya  mkojo.

8.  Unene  hupunguza  uwezo  wa  kujamiiana  wa  mtu.

9.  Unene   hupunguza  uwezo  wa  kuzaa  na  hata  kusababisha  utasa  na  ugumba.

10.               Unene  husababisha kibofu  cha  mkojo  kibanwe, suala  linalo  sababisha  matatizo  mbalimbali  ya  mkojo.

11. Unene huweza  kuufanya  mwili  upatwe  kwa  wepesi  na magonjwa  mbalimbali  kama  vile  kisukari  na  presha.

12.               Watu  wanene  wanapofika  hospitalini, upimaji  wao  pia  huwa  wa  matatizo.

13.               Unene  husababisha  ujauzito  kuwa  wenye  matatizo  mengi.

14.               Unene  huathiri  pia  afya  ya  motto  mchanga  anaye  zaliwa.

15.               Unene  hufanya  matibabu  ya  pumu  ( asthma ) yawe  magumu.

16.               Unene  hupelekea  mtu asilale  vizuri  na  wakati mwingine  mtu  mnene  anapolala  hubanwa na  pumzi  suala  linalo mfanya   aamke  mara  kwa  mara.

17.               Unene  humfanya  mtu  ashindwe  kuwajibika vizuri  kazini  na  hata  kuathiri  utendaji  kazi  wake.

18.               Unene  hufanya  matumizi  ya  fedha  kuwa  makubwa   unapokumbwa  na  magonjwa  yasababishwayo  na  unene.

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA