Skip to main content

LE MUTUZ KUFUNGUA KITUO CHA TELEVISHENI.



William  Malecela  a.k.a  Lemutuz  (Kulia )




Taarifa  zilizo  tufikia  kutoka  kwenye  chanzo  cha  kuaminika, zinaeleza  kuwa Mjasiriamali  na  Mwanahabari  maarufu  nchini  Tanzania  anayekwenda  kwa   jina  la  William  Malecela  almaarufu  kama  Lemutuz , yupo  mbioni  kufungua  kituo  cha   televisheni  huko  mkoani  Morogoro.








William  Malecela  anafungua  kituo  hicho  cha  televisheni  kitakacho  itwa  AFRICA  SWAHILI  TELEVISION  chini  ya  kampuni  inayoitwa  AFRICA  SWAHILI  MEDIA  LIMITED   yenye  share  holders  watatu  ambao  ni  kampuni  ya   Delina  General    Enterprises wenye hisa 59.8%, Davis Mosha mwenye hisa 39.9% na  William  John  Malecela  mwenyewe ambaye  ana  hisa 0.19% 

Akitoa  maelezo  kuhusu   kufungua  kituo  hicho  cha  televisheni, Lemutuz   kupitia  mtandao  wa  Jamii  Forums  alisema 


 “……..baada ya kukaa nje miaka 30 ingekuwa kichekesho kama ningerudi bila mambo kama haya, hisa zangu kwenye kampuni hii sio ndogo kiasi hicho lakini sio tatizo walisema Rostam ana hisa ndogo Voda so sio la ajabu, otheriwise mimi sio mwizi wala fisadi, nilitumia kazi ya kuendesha malori kujisomesha elimu kubwa na sasa niemrudi ninaitumia kadri niwezavyo kujisaidia mimi mwenyewe kimaisha na wengine pia,

- Kwa mfano toka nimerudi:

1. NIMEFUNGUA BLOG AMBAYO SASA NI NIMEISAJILI NI KAMPUNI KAMILI NA INAAJIRI VIJANA 2 NA NATEGEMEA MIEZI SITA IJAYO TUTAAJIRI VIJANA 10 NA TUTAKUWA KILA MKOA WA TANZANIA.

2. TUMEFUNGUA HII KAMPUNI YA TV NA RADIO, AMBAYO SOON VYOTE VITAKUWA HEWANI, TUTAAJIRI VIJANA WENGI SANA.

3. KWA SASA NIMJIKITA KWENYE MRADI WA ICD-MBAGALA PROJECT.

4. NAIFANYIA KAZI OFFER YA KUWA NA KIPINDI MAALUM KWENYE TV MOJA MAARUFU HAPA NCHINI.

- KWA KWELI NINAMSHUKURU SANA MUNGU KWA YOTE HAYA, NINGEBAKI USA NISINGEFIKIA HAYA MAFANIKIO NA KESHO NITAKUWA ARUSHA TENA AMBAKO PIA NINA PROJECTS ZINAENDELEA……”

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA