Skip to main content

Kitabu; Richard Branson–Mafunzo Ya Maisha(Screw It, Let's Do It)




  Mwezi huu tutajisomea kitabu kilichoandikwa na Richard Branson kinachoitwa SREW IT, LETS DO IT, LESSONS IN LIFE.
Richard Branson ni bilionea wa kiingereza ambaye utajiri wake unakadiriwa kufikia dola bilioni 5. Richard ni mwanzilishi na mwendeshaji mkuu wa kundi la makampuni lijulikanalo kama Virgin Group. Katika kundi hili anamiliki makampuni zaidi ya 400. Ni kitu cha kipekee sana kwa mtu mmoja kuweza kuendesha makampuni 400 yenye wafanyakazi zaidi ya 16,000.





Richard Branson alianza ujasiriamali akiwa na miaka 16 baada ya kuacha shule. Kilichomfanya aache shule ni kutokana na tatizo la kushindwa kuelewa, yani alikuwa mzito sana kuelewa darasani. Anasema mwalimu mkuu wa shule yake alimwambia atakuwa bilionea au ataishia jela.
Baada ya kuacha shule Richard alianzisha jarida lake ambalo alikuwa akiandika mambo yanayohusu wanafunzi. Baadae alifungua studio ya kurekodi muziki na biashara zake zikaendelea kukua mpaka kufikia makampuni zaidi ya 400.
Katika kitabu hiki Screw It, Lets Do It, Richard anaelezea misingi aliyosimamia kwenye maisha yake na ikamuwezesha kufikia mafanikio makubwa aliyonayo sasa. Misingi hiyo sio siri kubwa sana bali ni mambo ya kawaida ambayo hata mimi na wewe tunaweza kuyafanya na tukafikia mafanikio makubwa.
Moja ya misingi aliyosimamia ni; Kufanya tu(Just Do It). Katika kufanya tu, Richard anakushauri yafuatayo;
1. Amini kwamba inawezekana
2. Kuwa na malengo
3. Ishi maisha yako
4. Usikate tamaa
5. Jiandae vizuri
6. Jiamini
7. Wasaidie na wengine.
Misingi mingine anayotufundisha Richard ni;
Kuwa na furaha, Jipe changamoto, Simama kwa miguu yako, Ishi wakati huu, Thamini familia na marafiki, Kuwa na heshima, Fanya mambo mazuri.
Kitabu hiki ni kifupi sana na unaweza kukisoma na kukimaliza ndani ya masaa mawili. Ni kitabu ambacho kitakupa mafunzo makubwa sana kuhusu maisha na mafanikio.
Nakusihi sana ukisome kitabu hiki kwani kitakuwa na msaada mkubwa kwako. Hata kama hujawahi kusoma kitabu kingine chochote nilichowahi kutuma, tafadhali sana soma kitabu hiki tu. Kitakufungua na kukuonesha kwamba hakuna lisilowezekana.
Kitabu hiki kimetumwa kwa wanachama wa mtandao wa AMKA MTANZANIA. Kama hujakipata kitabu hiki bonyeza maandishi haya na uweke email yako kisha utatumiwa email yenye link ya kitabu papo hapo, ni bure kabisa.
Nakutakia kila la kheri katika harakati zako za mafanikio.
Kumbuka Tuko Pamoja.

CREDIT :  AMKA TANZANIA  BLOG

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA