Skip to main content

Posts

Showing posts from October, 2013

GONJWA LA KUTIKISA KICHWA LAVAMIA AFRIKA MASHARIKI

GONJWA   hatari   kuliko   UKIMWI, limeuvamia   Ukanda   wa   Afrika   Mashariki   na   Kati, anzania   ikiwamo, ambapo   waathirika   wengi   ni   watoto, wanaoanzwa   kwa   kutikisa   vichwa   kabla   ya   kupoteza   maisha. Kwa   mujibu   wa   watalaamu   wa   afya, kutikisa   kichwa   ni   dalili   za   awali    za   maradhi   hayo   yanayo   itwa   kitaalamu   “   NODDING   DISEASE”   au   “ NODDING   SYNDROME “   na   kufuatiwa   na   mtoto   kudumaa   kimwili   na   kiakili, kushindwa   kuongea   na   hatimaye   kifo. Wataalamu   wa    Shirika   La   Afya   Duniani   (   WHO ), wanasema   maradhi   hayo   yaliyo   anzia   Sudan   miaka   ya   1960, kabla   ya   kupotea   na   kuibuka    tena   Afrika   Mashariki    hivi   karibuni   kwa   kiasi   kikubwa   yanaathiri     watoto   wenye   umri    wa   kati   ya   miaka   5   hadi   15. Pia   wameitaja   Tanzania   kama   moja   ya   maeneo   yenye   maradhi   hayo. Mtoto   anapopatwa   na    maradhi   hayo   kwa   mara

GONJWA LA KUTIKISA KICHWA LAVAMIA AFRIKA MASHARIKI

GONJWA   hatari   kuliko   UKIMWI, limeuvamia   Ukanda   wa   Afrika   Mashariki   na   Kati, anzania   ikiwamo, ambapo   waathirika   wengi   ni   watoto, wanaoanzwa   kwa   kutikisa   vichwa   kabla   ya   kupoteza   maisha. Kwa   mujibu   wa   watalaamu   wa   afya, kutikisa   kichwa   ni   dalili   za   awali    za   maradhi   hayo   yanayo   itwa   kitaalamu   “   NODDING   DISEASE”   au   “ NODDING   SYNDROME “   na   kufuatiwa   na   mtoto   kudumaa   kimwili   na   kiakili, kushindwa   kuongea   na   hatimaye   kifo. Wataalamu   wa    Shirika   La   Afya   Duniani   (   WHO ), wanasema   maradhi   hayo   yaliyo   anzia   Sudan   miaka   ya   1960, kabla   ya   kupotea   na   kuibuka    tena   Afrika   Mashariki    hivi   karibuni   kwa   kiasi   kikubwa   yanaathiri     watoto   wenye   umri    wa   kati   ya   miaka   5   hadi   15. Pia   wameitaja   Tanzania   kama   moja   ya   maeneo   yenye   maradhi   hayo. Mtoto   anapopatwa   na    maradhi   hayo   kwa   mara

UNAWEZA TUMIA ASALI KATIKA KUOKA VITU MBALIMBALI.

Wale wapenzi wa mapishi unaweza achana na matumizi ya sukari ya mezani na kutumia ASALI katika shughuli zako za uokaji vitu mbalimbali kama mikate, maandazi, keki n.k Asali ni nzuri zaidi katika uokaji kwasababu 1. Inaongeza SHELF LIFE(mda wa bidhaa kukaa bila kuharibika) kwasababu asali inazuia mazalia ya bakteria. 2. Inaongeza ulaini 3. Inaongeza AROMA 4. Inaleta FLAVOUR nzuri zaidi VITU VYA KUZINGATIA Vifuatavyo ni baadhi ya vitu vya kuzingatia utumiapo asali badala ya sukari 1. Punguza kipimo cha asali kwa 1/3 au nusu kutoka matumizi ya kawaida ya sukari. Mfano kama ulikua unatumia sukari 1 KG basi asali tumia NUSU KILO kwasababu asali ni tamu zaidi. 2. Punguza kiwango cha maji utakachotumia kwa upishi angalau kwa 1/5 kwasababu asali tayari ina maji angalau 18%. 3. Punguza joto la OVEN yako angalau kwa 4 centigrade. 4. Ongeza nusu kijiko cha BAKING soda kwa kila kikombe kimoja cha asali unachoweka 5. Paka mafuta kidogo chombo utakachotumia kupimia asali ili iwez

MTUMISHI WA MUNGU ANUSURIKA KATIKA AJALI KIMIUJIZA!!!!

Rev. John  Komanya. Mwimbaji anayetamba na wimbo wa "Zawadi gani nitamtolea BWANA" ambaye pia ni mtume akichunga kanisa jijini Dar es Salaam John Komanya amepata ajali mbaya juzi mchana maeneo karibu na daraja la Mto Wami akiwa njiani kuelekea mkoani Arusha kukutana na viongozi wanaohudumu na mwalimu Christopher Mwakasege, kwa ajili ya mkutano wa injili ambao utakuwa na lengo la kuombea taifa kwa siku nne mwezi Disemba. Akizungumza na GK mtume Komanya amesema lengo lilikuwa ni kupeleka barua kwa viongozi hao ili wamfikishie mwalimu Mwakasege kwaajili ya mkutano huo. Amesema akiwa njiani katikati ya Msata na Wami na wakati huo hakuwa amefunga mkanda wa gari, ndipo akasikia sauti ya Roho Mtakatifu ikimwambia kwa upole afunge mkanda lakini akawa anapuuzia na kuanza kujiuliza kwanini, sauti ikarudia tena kwa upole ikimwambia afunge mkanda akiwa bado anajiuliza ndipo anasema akasikia sauti ya Mungu ikizungumza kwa haraka na ukali "John funga mkanda&

HABARI NJEMA SANA KWA WATU WANAO TAKA KUPUNGUZA UZITO NA UNENE KWA NJIA YA VYAKULA-LISHE.

PUNGUZA   UNENE   &   UZITO   KWA    KUTUMIA   NUTRITIONAL   SOUP.                 Baadhi  ya  supu  zinazopatikana  kwenye  mgahawa  wetu.  Katika  mgahawa  wetu  tunatoa  huduma  ya  vyakula   mbalimbali  maalumu  kwa  wagonjwa  mbalimbali  kama  vile  presha  na  kisukari, vidonda  vya  tumbo n.k  pamoja  na  watu  wanao  kabiliwa   na  matatizo  mbalimbali  ya  kiafya  kama  vile   vitambi, unene  na  uzito  ulio  zidi.     Unakabiliwa   na   tatizo   la       UNENE / UZITO   ulio   zidi ?   Unataka   kupunguza   UNENE/UZITO   kwa   kutumia    diet   ?   Kama   jibu   ni   ndio     basi   hii   ni   HABARI   NJEMA   SANA   KWAKO!   Neema   Herbalist   &   Nutritional   Foods   Clinic   sasa   tumeanza    kutengeneza   SUPU   MAALUMU   YA   KUONDOA   MAFUTA   MWILINI   ( Slimming   Soup   )    ambayo   inaondoa   kilo   saba   ( 7kgs )   kwa   wiki   moja .                        UTARATIBU   WA   KUPATA   HUDUMA   HII. Utaratibu