Skip to main content

Posts

Showing posts from April, 2013

HABARI NJEMA SANA KWA WANAWAKE WASIO NA ASHKHI YA TENDO LA NDOA

Wanawake  wengi  nchini  na  duniani  kwa  ujumla  wanasumbuliwa  na  tatizo  la kukosa  hamu  ya  kufanya  tendo  la  ndoa  ( LACK  OF  LIBIDO ) pamoja  na  tatizo  la  kutofika  kileleni.  Inasadikiwa  kuwa, katika  kila  wanawake  kumi, angalau  wanne  kati  yao  wanasumbuliwa  na  tatizo  la kukosa  hamu  ya  tendo  la  ndoa  na  kutofika  kileleni  wakati  wa  tendo.   SABABU  ZA  WANAWAKE  KUKOSA  HAMU  YA  TENDO  LA  NDOA . Sababu  zinazo  changia  tatizo  hili  zimegawanyika  katika  makundi  makuu  mawili :  (  A  )  Sababu  za  Kisaikolojia { Psychological )  na  (  B  )  Sababu  za  Kimwili  {  Physical  } A.  SABABU  ZA    KIMWILI  "  PHYSICAL" 1.  Anaemia  (   ugonjwa  huu  ni  very  common  kwa  wanawake  kwa  sababu  ya  kupoteza  madini   ya  chuma  wakati  wa   hedhi  ) 2. Ulevi  Kupita  kiasi  (  Alcoholism  ) 3. Utumiaji  wa  Dawa   Za  Kulevya  ( Kama  Vile  bangi  n.k  ) 4. Magonjwa  makubwa  kama  vile  kisukari. (  Sababu  zipo  nyi

TIBA LISHE YA MGONJWA WA PUMU

   Katika  makala  iliyopita, tumeufahamu  kwa  undani  ugonjwa  wa  pumu, makala  haya  yanaelezea  tiba  lishe  ya  ugonjwa  wa  pumu.  Zipo  aina  mbalimbali  za  lishe zinazo  weza  kutumika  kama  tiba  ya  ugonjwa  wa  pumu, leo  tutaanza  na  aina  ya  kwanza.                         TIBA  LISHE  YA  UGONJWA  WA  PUMU   Baadhi ya vyakula vinavyoaminika kutoa ahueni na kuwa kama tiba kwa mgonjwa wa pumu ni pamoja na asali, juisi ya limau, mchanganyiko wa vitunguu swaumu na maziwa na mchangayiko wa mdalasini pamoja na asali. Vyakula hivyo vikiwa sehemu ya mlo wa mgonjwa kila siku, atapata ahueni ya ajabu . Pamoja na kuepuka ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi, mgonjwa wa pumu anatakiwa pia kula kwa kiasi kidogo mlo wenye matunda, mboga za majani na vyakula vingine vitokanavyo na nafaka ambavyo hutoa ‘alikalaini’. Aidha, wagonjwa wa pumu wanatakiwa kujiepusha na ulaji wa kiasi kikubwa cha wali, sukari, mtindi (yoghurt), unywaji mwingi wa chai, kahawa, pombe na vyakula

UJUE UGONJWA WA PUMU (ASTHMA)

Utangulizi Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa sugu ambao huathiri njia za hewa ambazo huingiza na kutoa hewa katika mapafu. Upatapo ugonjwa wa pumu, kuta za ndani za njia ya hewa hupata maumivu (inflammation) na kuvimba. Maumivu katika njia za hewa huzifanya kujihami kwa kusinyaa na hivyo kupunguza kiasi cha hewa kinachopita kwenda kwenye mapafu. Hali hii husababisha muathirika kutoa mlio kama wa filimbi au mluzi wakati wa kupumua. Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa sugu lakini unaotibika. Unaweza kudhibitiwa kama vile ugonjwa wa kisukari na moyo unavyoweza kudhibitiwa. Aina za Pumu Kuna aina kuu mbili za pumu. Aina ya kwanza ni ile inayoanza mapema (early onset asthma) na aina ya pili ni ile inayochelewa kuanza (late onset asthma). Kwa kifupi tutaenda kuangalia tofauti chache kati ya aina hizi za pumu. Pumu inayoanza mapema Ni kawaida kwa aina hii ya pumu kuanza utotoni na kwa kawaida huwatokea waathirika ambao miili yao hutengeneza kingamwili (antibodies) za IgE. Waathirika wa aina

ONDOA KITAMBI (TUMBO KUBWA ) NDANI YA SIKU KUMI NA NNE!

HABARI  NJEMA  SANA  KWA  WANAWAKE  NA  WANAUME  WENYE  MATUMBO  MAKUBWA ( VITAMBI)            ONDOA   KITAMBI   NDANI    YA   SIKU  KUMI   NA  NNE             NEEMA  HERBALIST  &  NUTRTITIONAL  FOODS  CLINIC  Ni  wauzaji  wa  dawa  mbalimbali  za  asili. Tunayo  dawa  nzuri  na  ya  asili  ya  KUONDOA  KITAMBI..Dawa  hii  ni  ya  asili “ pure  herbal “, haijachanganywa  na  kemikali   yoyote, haina  side  effect   kwa  mtumiaji  na  inaondoa  kitambi  ndani  ya  siku  kumi  na  nne  tu.  Bei  yake  ni  Shilingi  Elfu  Arobaini  Tu ( Tsh.40,000/=)  Tunapatikana   jijini  Dar  Es  salaam, katika  eneo  la  CHANGANYIKENI  karibu  na  CHUO  CHA  TAKWIMU.  Vile vile  tunafanya   ‘delivery’ kwa  wateja  wasio  weza  kufika  ofisini  kwetu, na  kwa  wateja  wa  mikoani  tunawatumia   kwa  njia  ya  mabasi, wateja  waliopo  Zanzibar  tunawatumia  dawa  kwa  njia  ya   meli  na  kwa  wateja  waliopo  nje  ya  nchi  tunawatumia  kwa  magari, DHL, ama posta  kulingana  na  nchi  w

HOMEMADE MOSQUITO TAP

Unasumbuliwa  na  mbu ( umbu?), hauna  uwezo  wa  kununua  chandarua? Jaribu  kufuata  maelekezo  haya  ili  kupambana  na  mbu  ( umbu?). Have you noticed the Mosquito's are already out! Here is a homemade trap to help keep you and the kiddos from being a blood donor!!! HOMEMADE MOSQUITO TRAP: It ems needed: 1 cup of water 1/4 cup of brown sugar 1 gram of yeast 1 2-liter bottle HOW: 1. Cut the plastic bottle in half. 2. Mix brown sugar with hot water. Let cool. When cold, pour in the bottom half of the bottle. 3. Add the yeast. No need to mix. It creates carbon dioxide, which attracts mosquitoes. 4. Place the funnel part, upside down, into the other half of the bottle, taping them together if desired. 5. Wrap the bottle with something black, leaving the top uncovered, and place it outside in an area away from your normal gathering area. (Mosquitoes are also drawn to the color black.) Change the solution every 2 weeks for continuous control. S

FAIDA ZA TANGAWIZI

  Tangawizi    ina  faida  nyingi  sana  kwa  mwili  wa  mwanadamu. Baadhi  ya  faida hizo  ni  kama  ifuatavyo : 1. Kutibu kutokusagika kwa chakula tumboni,. 2. Kutibu  tatizo  la gesi tumboni 3. Kuondoa  tatizo  la  msokoto wa tumbo (bila kuharisha) 4. Husaidia  kuzuia  kutapika. 5. Mshtuko/Mkazo wa ghafula (wa msuli), 6. Maumivu ya tumbo na Kibofu cha mkojo ikiambatana na Homa, Mafua, Kukohoa na Pumu.                          JAM  YA  TANGAWIZI. Unaweza  kutumia  Jam  ya  Tangawizi  kujitibu  magonjwa  mbalimbali  kama  ilivyo  onyeshwa   hapo  juu.                        JINSI  YA  KUTENGENEZA  JAM  YA  TANGAWIZI.  Kamua  TANGAWIZI  mbichi kisha changanya maji yake (Juice) na Sukari. Chemsha mpaka mchanganyiko huo uwe mzito. Ongeza Zafarani iliyosagwa,Iliki iliyosagwa, Kungumanga zilizosagwa na karafuu iliosagwa. Iweke dawa hii vizuri na tumia inapo hitajika. MUONGOZO  WA  KUJITIBU  MAGONJWA  MBALIMBALI  KWA  KUTUMIA  TANGAWIZI. Unaweza  k

VYAKULA TIBA KWA WAGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO

Ili kupunguza makali au kujiepusha kabisa na ugonjwa wa vidonda vya tumbo, unapaswa kujiepusha na tabia ya kula na kushiba kupita kiasi, kwa sababu kushiba sana huchochea uzalishaji wa asidi nyingi wakati wa usagaji chakula tumboni. Mbali na hilo, vyakula vyenye mafuta na sukari nyingi na vyenye kiwango kidogo sana cha kamba lishe, imethibitika kuwa husababisha madhara mengi tumboni. Katika makala ya leo, tutaangalia aina ya vyakula anavyopaswa kula au kuviepuka mgonjwa ili kupata nafuu na kuishi bila kusumbuliwa nao: VYAKULA VYENYE VIUNGO VINGI Epuka ulaji wa vyakula vilivyopikwa na kuungwa viungo vingi vya aina mbalimbali, kama vile pilipili kali za aina zote na viungo vingine vyenye ladha ya ukali ambavyo hutiwa ndani ya mboga ama chakula ili kuongeza ladha. POMBE NA KAHAWA Pombe na kahawa au vinywaji vingine vyenye ‘caffeine’, vinaweza kuleta matatizo kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo na kwa mtu asiye navyo anaweza kupatwa na tatizo, hivyo ni vyema kuepuka au kutumia kwa ki

CHANZO NA TIBA ASILIA YA VIDONDA VYA TUMBO.

Vidonda   Vya    Tumbo   Ni Nini? VIDONDA vya tumbo ni uharibifu wa kuta za ndani ya tumbo. Kwa maneno mengine, ni majeraha ndani ya tumbo.   AINA   ZA    VIDONDA    VYA   TUMBO Vidonda vya tumbo vimegawanyika sehemu mbili; vidonda vya ndani ya tumbo ( gastric ulcer ) au sehemu ya juu ya utumbo mdogo ( duodenal ulcer). Vidonda vinavyotokea katika utumbo ndivyo maarufu sana na huonekana zaidi kutokea kwa wanaume, na vidonda vya ndani ya tumbo huwashambulia wote wanaume na wanawake. Kutokana na tafiti za hivi karibuni, takribani mtu mmoja kati ya watu kumi atakuwa na vidonda vya tumbo. Vidonda vya tumbo hutokeaje mwilini? Chakula kinapoingia tumboni kwa ajili ya kusagwa, tumbo huzalisha majimaji mbalimbali, miongoni mwayo yaliyo muhimu zaidi ni asidi hidrokloriki. Asidi hii huanza kula kuta za tumbo/doudeni. Aina zote mbili za vidonda vya tumbo hutokea kutokana na kutolingana nguvu kati ya nguvu ya mnyunyizo wa asidi ya tumbo katika kushambulia na uwezo wa kuta za tumb