Skip to main content

SHULE NZURI YA SEKONDARI KWA WASICHANA.



Gili ni shule ya wasichana ya bweni tu, shule imesajiliwa na wizara ya elimu kwa namba S.4375 iliyopo Kibaha Maili Moja B, kilometa mbili kutoka barabara ya Morogoro. Kama ukiendesha gari kutokea Dar es Salaam utapita Maili moja na TAMCO halafu utaingia kulia ukiifuata barabara inayokupeleka Bagamoyo kutokea Kibaha.
Shule inatoa elimu kulingana na mtaala wa elimu wa Tanzania. Shule ina nafasi za masomo kidato cha kwanza katika michepuo ya Sanaa, Sayansi na biashara.
Mtazamo
Kuwaandaa wanafunzi wajitegemee, wawe wabunifu na wachapakazi.
Mafanikio ya shule:
Shule ya 36 kati ya 365 kwa kanda ya mashariki katika mitihani ya Taifa FII. 2012,
Shule ya 3 kati ya 48 kwa kibaha katika mitihani ya mock FII. 2012
Gili Shule ya Wasichana ya Bweni - Kibaha
Mikakati yetu.
• Kuwaongoza wanafunzi katika maadili mema.
• Kuwaongoza wanafunzi katika kutambua umuhimu wao.
• Kuendeleza uwezo walionao wanafunzi wa kutambua fursa mbalimbali katika maisha.
• Kuwasaidia wanafunzi katika kutambua majukumu yao katika jamii.
• Kuwapa wanafunzi uwezo wa juu katika kuelimika.
• Kuandaa mazingira mazuri kwa wanafunzi kupata elimu.
Wafanyakazi
Waalimu wote wana shahada. Pia wapo walezi wa watoto (matron) na nesi (muuguzi), mpokea wageni (receptionist), wapishi na walinzi.
Huduma zilizopo
• Jengo la utawala, madarasa, bwalo la chakula, mabweni, maabara na jiko lenye huduma ya LPG.
• Mabomba ya maji ya dawasco na maji ya kisima hivyo hakuna tatizo la maji.
• Umeme wa Tanesco pia jenereta hivyo upatikanaji wa umeme ni wa uhakika.
• Uwanja wa michezo, basketball, netball na handball.
• Shule ina fensi.
• Tuna vifaa vya huduma ya kwanza.
• Maabara ya kompyuta
• Chakula bora
Mazingira
• Bustani asilia, mazingira mazuri ya kusomea na kwa malezi ya mtoto.
• Eneo wazi na tulivu lenye mzunguko mzuri wa hewa.
Jinsi ya kujiunga
Tunapokea wanafunzi kila Jumatatu hadi Ijumaa kwa ajili ya Interview (Usaili). Usaili unafanyika shuleni na Fomu zinatolewa hapa shuleni na Msimbazi Centre au kwenye tovuti yetu www.gilisecondary.ac.tz .
Kwa usaili na jinsi ya kufika shuleni wasiliana nasi kwa namba:-
+255 714 477216, +255 787 320522
Email: mugili2006ltd@yahoo.com
Facebook: GiliSecondarySchool
Twitter: Gilisecondary
www.gilisecondary.ac.tz
 PRE FORM ONE INAANZA 1 OKTOBA 2013 KARIBUNI


Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA