Neema Herbalist
& Nutritional Foods
Clinic wanakuletea NEEMA
MARATHON. Ni mashindano ya mbio za watu wanene
na wenye vitambi
& matumbo makubwa.
Walengwa wa mashindano
haya ni watu
wote yaani wanawake na
wanaume wenye vitambi
na matumbao makubwa . Washindi Ishirini
( 20 )
watapata zawadi mbalimbali
ikiwa ni pamoja
na kuingizwa kwenye
program maalumu ya kuwasaidia kupunguza
unene na kuondoa
vitambi kwa njia
za asili. Fomu
za kushiriki katika
shindano hili zinapatikana
katika ofisi zetu
zilizopo jijini Dar
Es salaam, katika eneo
la CHANGANYIKENI karibu
na CHUO CHA
TAKWIMU. Kwa maelezo zaidi wasiliana
nasi kwa SIMU :
0766538384.
Pilipili Mbuzi Punyeto ( kwa wanaume ) ni kitendo cha mwanaume, kujifikisha mwenyewe kileleni kwa kujichua uume hadi kumwaga mbegu za kiume. Uchunguzi unaonyesha katika watu wa jinsia ya kiume kumi wenye umri wa kuanzia miaka 16 hadi 45, angalau wanne kati yao wamewahi kupiga punyeto katika kipindi fulani cha maisha yao, na wawili kati yao wanajihusisha na upigaji punyeto. Uzoefu unaonyesha, asilimia kubwa ya wanaume wanao piga punyeto huanza katika umri wa kubalehe ( miaka 14-16 ), wengine huachana na tabia hiyo mara baada ya kupata wapenzi wa kike ama kuoa na wengine huendelea na tabia hiyo hata baada ya kuoa . Zipo sababu mbalimbali zinazo wapelekea wanaume kupiga punyeto, ila kubwa kati ya hizo ni pamoja na kutokuwa na wapenzi, kutokuwa na wapenzi wanao kidhi vigezo vyao, kuwa katika mazingira yasiyokuwa na wanawake ( mfano katika shule za sekonda
Comments
Post a Comment