Skip to main content

MATUMIZI MBALIMBALI YA MAFUTA YA NAZI



 MATUMIZI  MBALIMBALI  YA  MAFUTA  YA  NAZI

1.   Mafuta  ya  nazi  kama  Make  Up Remover : Kama  umefanya  make  up na  unataka  kuondoa  unaweza  kufanya  hivyo  kwa  kutumia  mafuta  ya  nazi.  Chukua  pamba  chovya  kwenye  mafuta  ya  nazi  kasha  tumia  kusugua  kwenye  sehemu za  uso  ulizo   paka  make  up  yako.

2.    Kusafisha  uso  :   Paka  mafuta  ya  nazi  sehemu z a  shingoni  na  usoni  kisha  fanya  masaji halafu  jifute  kwa  kutumia  kitambaa  au  taulo.

3.    Kufanya  scrub  Ya  Mwili  Mzima  (  Body Scrub ) :   Chukua  vijiko  vitano  vikubwa  vya  sukari  kisha  changanya  na  vijiko  vitano  vikubwa  vya   mafuta  ya  nazi  kisha  koroga  mchanganyiko  wako  halafu  utumie  kufanyia  scrub

4.    Kufanya  Scrub  Ya  Usoni  (  Facial  Scrub ) : Changanya  mafuta  ya  nazi  na  amira au makande   pamoja  na  mdalasini  kasha  tumia  kufanya  scrub usoni .

5.   Kunyolea  ( Kushave ) :   Jipake  mafuta  ya  nazi  katika  sehemu  yenye  nywele  kisha  nyoa.

6.    Kujipaka : Unaweza  kutumia  mafuta  ya  nazi  kujipaka. Unaweza  kuongeza  na  marashi  ya  rose  ili  kuyafanya  mafuta  yawe  na  harufu  nzuri. Matumizi  ya  mafuta  ya  nazi  mwilini  huifanya  ngozi  yako  kuwa  na  afya  njema.

7.   Kuondoa  Makunyanzi :   Jipake  mafuta  ya  nazi   juu  ya  macho  ili  kuondoa  makunyanzi.

8.   Kuondoa  harufu  mbaya  ya  mwili : Matumizi  ya  mafuta  ya  nazi  husaidia  kuondoa  harufu  mbaya  ya  mwili. Tumia  kujipaka  mafuta  ya  nazi  mara  mbili  kwa  siku  asubuhi  na  jioni  na  baada  ya  wiki  tatu  au  nne, hautakuwa  tena  na  harufu  mbaya  ya  mwili. Ukiya changanya  pamoja  na  marashi  ya  waridi  utapata  matokeo  mazuri  zaidi.

9.   Kuogea ;  Changanya  mafuta  ya  nazi kwenye  maji  ya  oto  kisha  tumia  maji  hayo  kuogea.

10.                      Kutengeneza  sabuni  : Mafuta  ya  nazi  ni  moja  kati  ya  malighafi  muhimu  sana  katika  utengenezaji  wa  sabuni  za  aina  mbalimbali.

11.                     Kupigia  mswaki ;  Changanya  mafuta  ya   nazi  na  amira  ya  unga  kisha  tumia  kupigia  mswaki.

12.                      Kurutubisha  nywele : Mafuta  ya  nazi  yanajulikana  kama  “ Hair’s  Best  Friend ‘, unaweza  kurutubisha  nywele  zako  kwa  kutumia  mafuta  ya  nazi. Vile  vile  mafuta  ya  nazi  yanaweza  kutumika  kama  dawa  ya  kuulia  vijidudu  endapo  yatachanganywa  na   mafuta  mengine  ya  aina  tofauti  tofauti.

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA