Skip to main content

LISHE NA ULAJI UNAO FAA KWA WATU WANAO SUMBULIWA NA SHINIKIZO KUBWA LA DAMU ( HIGH BLOOD PRESSURE )



Mtu  mwenye  shinikizo  kubwa  la  damu  anashauriwa  kuepuka  matumizi  ya  chumvi.


Shinikizo kubwa la damu
Shinikizo kubwa la damu hutokea pale panapokuwa na ongezeko la nguvu ya msukumo wa damu katika mishipa inayochukua damu kutoka kwenye moyo kwenda kwenye viungo na tishu mwilini.
Ukubwa wa shinikizo kubwa la damu hutegemea wingi na nguvu ya msukumo wa damu kutoka kwenye moyo na ukubwa wa mishipa inayopeleka damu mwilini.

Viwango vinavyoashiria shinikizo kubwa la damu mwilini

Blood pressure machine (sphignomanometer) hutumika kupima shinikizo kubwa la damu.Kipimo kinachochukuliwa kuwa ni kawaida ni 120/80 mmHg au chini yake. 8
Kiwango kinapokuwa 140/90 mmHg au zaidi hali hiyo huwa ni shinikizo kubwa la damu.Ikumbukwe kuwa panaweza kuwepo tofauti kati ya mtu na mtu.

Viashiria hatarishi vya shinikizo kubwa la damu

Historia ya shinikizo kubwa la damu katika familia, Umri wa zaidi ya miaka 40, Jinsi ya kiume (huwapata wanaume zaidi kuliko wanawake),Uzito uliozidi kiasi, Msongo wa mawazo, matatizo mengine ya kiafya mwilini kama magonjwa ya figo, matatizo ya mishipa ya damu, magonjwa ya moyo, matatizo ya vichocheo mwilini, kisukari au saratani.Matumizi ya baadhi ya dawa na Kutokufuata mtindo bora wa maisha.

Dalili za shinikizo kubwa la damu:

Kichwa kuuma mara kwa mara hasa sehemu ya kisogo, Kizunguzungu, Kutokwa kwa damu pumuani, Maumivu ya kifua, Moyo kwenda kasi wakati umepumzika, Kushindwa kufanya mazoezi kwa kushindwa kupumua, Mapigo ya moyo kushuka wakati umepumzika, na Uchovu wa mara kwa mara.

Ulaji unaoshauriwa kwa mtu mwenye shinikizo kubwa la damu:

• Kuepuka vyakula venye chumvi nyingi, ikiwa ni pamoja na vile vilivyosindikwa kwa chumvi
• Kutumia viungo mbalimbali kuongeza ladha ya chakula( vitunguu swaumu, tangawizi, mdarasini, )
• Kuepuka vyakula vyenye mafuta na sukari nyingi
• Kula mlo kamili angalau mara tatu kwa siku ukizingatia kula vyakula vya aina mbalimbali
• Kula matunda na mbogamboga kwa kiasi cha kutosha katika kila mlo
• Kutumia nafaka zisizokobolewa na vyakula vya jamii ya kunde kwa wingi.

Mbinu za kupunguza uwezekano wa kupata shinikizo kubwa la damu

• Kuepuka vyakula venye mafuta mengi, sukari na chumvi nyingi
• Kuepuka mafuta yenye asili ya wanyama
• Kuepuka vyakula vyenye lehemu kwa kiasi kikubwa 

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA