Skip to main content

KITUO CHA MSAADA WA MATIBABU KWA NJIA YA DAWA ZA MIMEA

KITUO  CHA  MSAADA   WA  MATIBABU  KWA  NJIA  YA  DAWA  ZA  MIMEA.

Habari  Njema  Sana  Kwa  Wagonjwa  na  Wenye  Kusumbuliwa  na  Matatizo  Mbalimbali  Ya  Kiafya.

Neema  Herbalist    Foundation  Ni  Kituo  Cha   Utafiti  wa  Tiba  Asilia  na   Msaada  Wa  Matibabu  kwa   wagonjwa  na  wenye  kusumbuliwa    na  matatizo  mbalimbali  ya  kiafya  wasio  na uwezo  wa  kumudu  gharama  kubwa  za  matibabu. Tunapenda  kuwatangazia  watu wote  kuwa , sasa  tunatoa  msaada  wa  matibabu kwa  njia  ya    dawa  za  mimea   na  vyakula  lishe  kwa  watu  wanao  kabiliwa  na  matatizo  mbalimbali  ya  kiafya  kama  vile
i.                   Presha  na  Kisukari
ii.                 Vidonda  Vya  Tumbo
iii.              Uvimbe  wa  Tumboni  Kwa  Wanawake(Fibroid)
iv.               Tatizo  la  Uzazi  Kwa  Wanawake  na  Wanaume
v.                 Tatizo  la  Ukosefu  wa  Nguvu  Za  Kiume,
vi.               Tatizo  la  Ukosefu  wa  Askhi  Ya  Tendo  La  Ndoa  Kwa  Wanawake
vii.            Kuongeza  CD 4  Kwa  watu  wanaoishi  na  Virusi  Vya  Ukimwi
viii.         Mzio ama  allergy
ix.              Pumu
x.                  Kupunguza  Uzito, Unene  na   KUONDOA  Vitambi 
xi.              Kutengeneza  shape  ya  tumbo  na  kulifanya  kuwa  flat
xii.            Kuondoa  harufu  mbaya  kinywa
xiii.         Matatizo    Yote  Ya  Ngozi
xiv.         Matatizo  Ya  Watoto pamoja  na   matatizo  mengineyo  mengi. GHARAMA   ZA   KUJIUNGA  NA   HUDUMA  HII  NI  RAHISI  SANA ! Tunapatikana  jijini  Dar  Es  Salaam   katika  eneo  la  CHANGANYIKENI  karibu  na  CHUO  CHA  TAKWIMU .
xv.            Kwa   maelezo zaidi  wasiliana  nasi  kwa  Simu  namba : 0766538384  Au  Tembelea  : www.neemaherbalist.blogspot.com

USIENDELEE   KUTESEKA!  WASILIANA   NASI   LEO,  UPATE  MSAADA  WA  MATIBABU  YA  TATIZO  LINALO  KUKABILI.






Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA