Skip to main content

JINSI YA KUZUIA MAGONJWA SUGU YANAYO AMBUKIZWA KWA NJIA YA HEWA.





Usikae  karibu  na  mtu  anayevuta  sigara. Hii  itakuepusha  na  kupatwa  na  magonjwa  ya  kuambukizwa  kwa  njia  ya  hewa.
Magonjwa sugu ya njia ya hewa

Aina za magonjwa sugu ya njia ya hewa ni pamoja na ugonjwa wa pumu, saratani ya mapafu, na mengine yanayosababishwa na kemikali zinazotoka katika viwanda vinavyochafua mazingira kwa mfano kiwanda cha saruji, pamba na sigara.

Mambo yanayoongeza uwezekano wa kupata magonjwa sugu ya njia ya hewa
Kuvuta sigara, au kukaa karibu na mtu anayevuta sigara, Uchafuzi wa hewa ya ndani na nje, kutokana na vumbi au chavua ya maua, Hewa za sumu na vumbi toka viwandan, Unene uliokithiri, Mara nyingine magonjwa sugu ya njia ya hewa huweza kurithiwa mfano pumu.

Ushauri wa lishe na ulaji kwa mgonjwa mwenye magonjwa sugu ya njia ya hewa

• Endapo una ugonjwa sugu wa njia ya hewa ni vyema kuzingatia ushauri wa mtaalamu wa afya, matibabu na kufuata kanuni za mtindo bora wa maisha.
• Unashauriwa kula mlo kamili na vyakula vya aina mbalimbali ili upate virutubishi vyote vinavyohitajika kwa afya yako.
10

• Kula matunda freshi, mboga mboga zenye rangi ya kijani, mboga mboga na matunda yenye rangi ya njano, ili kuimarisha kinga ya mwili wako.
• Unashauriwa pia kula vyakula venye makapi mlo kwa wingi ili kusaidia mfumo wa kusaga chakula kufanya kazi na kutoa uchafu tumboni kwa urahisi, hali hii husaidia kuweza kupumua kwa urahisi.
• kula milo midogo midogo mara kwa mara
• Punguza matumizi ya chumvi ili kuepuka maji kujikusanya mwilini na kusababisha kupumua kwa shida
• Ni muhimu pia kuepuka uzito uliozidi au unene kwani huongeza tatizo la kushindwa kupumua
• Zingatia kuwa na uzito unaofaa kwa kula chakula cha kutosha, mara nyingi mtu mwenye magonjwa sugu ya njia ya hewa huweza kupungua uzito kwa sababu inamlazimu kutumia nguvu (nishati- lishe) kwa kiasi kikubwa wakati wa kupumua.
• Matumizi makubwa ya nguvu husababisha asiwe na nishati- lishe ya akiba ambayo huhifadhiwa mwilini na kufanya mtu huyo kuwa mwembamba

Pamoja na ushauri wa lishe mgonjwa huyu anashauriwa:
• Kuepuka visababishi na vichochezi kama vile vumbi, kuvuta sigara, chavua, hasira, pombe na harufu kali
• Kuhakikisha mazingira na nyumba ni safi na pia iwe na madirisha yanayoruhusu mzunguko wa hewa.

Jinsi ya kuzuia magonjwa sugu ya njia ya hewa

Epuka kuvuta sigara, Epuka kukaa na mtu anayevuta sigara kwa kuzuia mtu kuvuta sigara nyumbani na ofisini, Inapaswa kuzuia uvutaji wa sigara kwenye maeneo ya watu kama hotelini, vituo vya usafiri, kwenye vyombo vya usafiri, hosipitali, shuleni, vyuoni, ofisini, sokoni n.k, Epuka kuchafua mazingira hasa hewa tunayovuta. 11 

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA