Skip to main content

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TATIZO LA UPARA







                  
CHANZO  NA  TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  KIPARA.
Katika  miaka  ya  hivi  karibuni, suala  la  upara  ( baldness )  linatajwa  kuwasumbua  vijana  wengi  wa  kiume. Miaka  ya   tisini  kurudi  chini  ilikuwa  ni aghalabu  sana  kumuona  kijana  wa  miaka  25  akiwa  na  upara,  na  mara  nyingi  suala  la  upara  lilikuwa  likihusishwa  na  uzee,lakini  leo  hii   hali  ni  tofauti  sana, kwani  kuna  idadi  kubwa  sana   ya  vijana  wa  kiume  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  25  hadi 45  wana okabiliwa  na  tatizo  la  upara. Pamoja  na  kwamba,  kutokuwa  na  nywele  hakuwezi  kukamfanya  mwanadamu  akashindwa  kuishi, lakini  katika  dunia  ya  sasa  ya  mitindo  na  utandawazi  kuwa  na  upara  ni  jambo  linalo  wapa  shida  sana  wahusika.  “     Upara  wangu  unanitesa  sana  ndugu, can you  imagine, am only  28  na  nshakuwa  na  kipara  kichwa  kizima.   Naonekana  kama  mzee, na  hi indo  sababu  inayo  nifanya  niwe  navaa  kofia  muda  wote, ila  honestly  kipara  kinaniboa  sana  ndugu  yangu “.  Hayo  ni  maneno  ya  Ernest ( Sio  jina  lake  halisi ), kijana  mwenye  umri  wa  miaka  28  mkaazi  wa  jijini  Dar  Es  salaam,.

KIPARA  HUSABABISHWA  NA  NINI ?
Yapo  mambo  mengi  sana  ambayo   ndio  chanzo  cha  watu  kuwa  na  upara .  Baadhi  ya  mambo  hayo  ni  kama  ifuatavyo :
i.                    Kurithi  kutoka  kwa  wazazi  (  Sababu  za  kijenetiki  )
ii.                  Lishe  mbovu
iii.                Ukosefu  wa  Vitamin  B6
iv.                Kuwa  na  stress,  mfadhaiko  na  mshuko  wa  moyo  kwa  muda  mrefu

NINI  TIBA  YA  TATIZO  LA  KIPARA:
Kama  unasumbuliwa  na  tatizo  la  kipara, jaribu  tiba  hii, inawaweza  kuwasaidia  kama  ilivyo wasaidia  watu  wengine.
i.            Indian gooseberry oil:   Mafuta  haya  hutayarishwa  kwa   kuyachemsha  kwenye  mafuta  ya  nazi. Yanasaidia  sana  katika  kuzifanya  nywele  zikue  vizuri. Vilevile  mafuta  haya  yanaweza  kuchanganywa  na  juisi  ya  ndimu  na  kasha  kuyatumia  kama  shampoo, ukifanya  hivi  itasaidia  katika  kuchochea  ukuaji  wa  nywele  na  kuzuia kukatika  kwa nywele.

Margosa:
  Majani  ya  Margosa  yana  faida  kubwa  sana  kwa  mtu  anaye  taka  kujitibu  tatizo  la  upara. Mafuta  haya  yanaua  chawa  na  vijidudu  wengineo  na  kuzifanya  nywele  kuwa  ndefu.

Tui  la  Nazi :  
Fanya  masaji  ya  kichwani  kwa  kutumia  tui  la  nazi. ( Masaji  hii  ifanyike  katika sehemu  yenye  kipara  )


Kitunguu  Maji  :
  Kata  kitunguu  maji, kichovye  kwenye  asali  na  ukitumie  kujisugua  kwenye  sehemu   iliyo  athirika. Fanya  hivyo  mara  tatu  kwa  siku. 
Kama  utafanya  hivi  bila  kupata  mafanikio  ya kuridhisha, tafadhali wasiliana  nasi  kwa  SIMU :  0766538384  ili  tukupatie  dawa  nzuri  na  ya  asili  ya  kutibu  tatizo  la  upara.

Comments

  1. Naitwa hafidh naishi unguja zanzibar nina miaka 23 nasumbuliwa na kipara toka nikiwa na miaka 20 hadi leo. Upara wangu wa urithi toka kwa baba na nishajaribu kutafuta dawa sana but still sjafanikiwa sjui mnaweza kunisaidia dawa yyte ambayo inaweza kudisaida mm fasta

    ReplyDelete
  2. Naitwa hafidh naishi unguja zanzibar nina miaka 23 nasumbuliwa na kipara toka nikiwa na miaka 20 hadi leo. Upara wangu wa urithi toka kwa baba na nishajaribu kutafuta dawa sana but still sjafanikiwa sjui mnaweza kunisaidia dawa yyte ambayo inaweza kudisaida mm fasta

    ReplyDelete
  3. Naitwa hafidh naishi unguja zanzibar nina miaka 23 nasumbuliwa na kipara toka nikiwa na miaka 20 hadi leo. Upara wangu wa urithi toka kwa baba na nishajaribu kutafuta dawa sana but still sjafanikiwa sjui mnaweza kunisaidia dawa yyte ambayo inaweza kudisaida mm fasta

    ReplyDelete
  4. Jamani mlinipa dawa mbona sija pona

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA