Skip to main content

Posts

Showing posts from November, 2011

CHANZO CHA UUME KUWA MDOGO...

Kundi kubwa la  wanaume  ambao  wanashindwa  kufurahia  tendo la  ndoa  kutokana na kuwa  na uume  mdogo  kupita  kawaida...Wanaume  walio na tatizo  hili  wengi  wao huwa  hawana  confidence  ya   kuingia  katika  mahusiano  na  wasichana  ama  wanawake  wanao  fahamiana  nao  kutokana  na  kuogopa  " siri" zao  kujulikana  hususani  pale  uhusiano  wao  unapofika  mwisho..Ikitokea  mwanaume  akiwa  katika  uhusiano  na  mwanamke "mcharuko" ( asiye  mstaarabu )  mwanamke huyo anaweza  kuanza  kumvua nguo  hadharani  kwa  kumtangazia    kwa  watu  kuwa  na  uume  mdogo ." Mwanaume  utakuwa  wewe!" na  lugha za  namna  hiyo hutawala  midomoni  mwa  wanawake  hawo....Matokeo  yake  sasa  wanaume walio na  tatizo  hili  huamua  kutokuwa  na  uhusiano wa  kimapenzi na  wanawake  wanao fahamiana  nao, na  badala  yake  huamua kuanzisha   tabia  ya kuwa  wanajamiiana  na  wanawake  wanaouza  miili  yao  ama  kujihusisha  na  upigaji  punyeto n.k. NINI  CHANZO 

KWA WATEJA WETU WALIO NJE YA TANZANIA.

Tunapenda  kuwafahamisha   wateja  wetu  walioko  nje  ya  Tanzania  hasa  wale walio  nje  ya  Afrika kuwa tunaweza  kuwatumia   dawa  zetu kwa  njia  ya  DHL au  njia  ya  posta...Kwa  wiki hii  nzima  tumekuwa tukipokea  simu  kutoka  kwa   watanzania  waliopo  nje  ya  Afrika  ambao  wanahitaji  sana  kupata  huduma  yetu.  Wengi  wanaulizia  namna  wanavyoweza  kuzipata  dawa  zetu.. Nusu  yao  tumeshawatumia  tayari  kwa  njia  zilizo  tajwa  hapo  juu, na  kwa  wale  ambao  wanataka  kujua  njia  tunazo tumia  kuwafikishia  huduma  zetu  hukohuko  walipo  ni  kama  tulivyo  onyesha  hapo  juu.  Kwa  maelezo na  maelekezo zaidi  tafadhali wasiliana  nasi  kwa :     neemaherbalist@gmail.com ASANTE  NA  KARIBU  SANA.