Skip to main content

Posts

  UJUE UHUSIANO KATI YA DAMU NA TATIZO LA UKOSEFU NA/UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya DAMU na tatizo la ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume.   Kujua zaidi kuhusu uhusiano uliopo kati ya DAMU na tatizo la ukosefu/ama upungufu wa nguvu za kiume, tembelea :   https://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/uhusiano-kati-ya-damu-na-tatizo-la.html
Recent posts

UHUSIANO KATI YA PUNYETO NA KUSINYAA/ KUDUMAA KWA MAUMBILE YA KIUME

  Wanaume  wanao  jihusisha  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu  husalia  kuwa  na  maumbile  ya  kiume  yaliyo  sinyaa  na  kudumaa.   Kwa mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  huathiri  na  kuharibu  mishipa  na  misuli  ya  uume na  hivyo kusababisha  kujengeka  kwa  mafuta na  tishu  zisizo vutika  kwenye  mishipa  ya  ateri na  hivyo  kuzuia  mishipa ya  ateri  kupanuka na  kuongezeka  pamoja  na  damu  kutiririka  kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.   Mambo  hayo  mawili yanapotokea  huathiri  uzalishaji  wa homoni muhimu  zinazo  husika  na ukuaji wa misuli ya  uume, na hatimaye  hufanya  uume  wa  mhusika  kudumaa, kusinyaa, kunywea  na  kurudi ndani  kiasi  cha  kuufanya  uonekane  kama wa  mtoto.    Homoni  hizo hujulikana   kitaalamu kama  HGH  na  huzalishwa  kwenye  ini.   Sababu nyingine   inayo  tajwa  na  wataalamu  ni kwamba, mtu  anaye fanya punyeto   hutumia  akili,  nguvu na  nishati  nyingi sana, ja

WASAIDIZI WA KAZI ZA NYUMBANI WANAPATIKANA

  WASAIDIZI WA KAZI ZA NYUBANI WANAPATIKANA : Neema Herbalist & Nutritional Foods Services , tunapenda   kukutaarifu wewe mteja wetu wa thamani   kwamba sasa tunao vijana wa kike na kiume ambao wapo tayari kwa majukumu ya kazi za nyumbani. SIFA ZAO: i.                    Wamemaliza fom 4 kati ya mwaka 2022 na2023. ii.                 Wote wanaishi ndani ya mkoa wa Dar Es Salaam. SIFA ZA ZIADA   Tumewapatia mafunzo maalumu kuhusu jinsi ya kupika vyakula maalumu ( special –diet)   kwa watu wenye mahitaji maalumu ya kiafya kama vile :     i.                    Lishe maalumu kwa watu wenye tatizo la presha &kisukari. ii.                 Lishe maalumu kwa watu wenye tatizo la vidonda vya tumbo iii.              Lishe maalumu ya kupunguza unene, uzito na kuondosha kitambi. iv.              lishe maalumu kwa wanaume wenye tatizo la   ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume v.                   Lishe maalumu ya kunenepa   kwa watu walio konda kwa sababu mbal

JINSI YA KUONDOA VINYWELEO VYA MIGUUNI, MIKONONI NA SEHEMU MBALIMBALI ZA MWILI KWA KUTUMIA DAWA ZA MIMEA

  Kuwa na vinyweleo   vingi kwenye miguu, mikononi na sehemu mbalimbali za mwilini ni jambo linalo wakwaza watu wengi   hasahasa   wanawake.   Je wewe ni miongoni mwa watu wenye tatizo la vinyweleo vingi ? Unataka kuondoa vinyweleo vyako kwa njia za asili ? Umejaribu   njia nyingi ili kumaliza tatizo lako la vinyweleo   bila kupata mafanikio yoyote? Unataka   kupata tiba ya uhakika ya kumaliza tatizo lako? Kama jibu lako ni NDIO basi hii ni HABARI NJEMA SANA. Neema Herbalist ni duka la kuuza dawa mbalimbali za mimea.   Tunayo furaha kukufahamisha kwamba zipo dawa mbalimbali za mimea ambazo zinaondoa na kumaliza kabisa tatizola vinyweleo kwenye miguu, kwenye mikono na sehemu mbalimbali za mwili. Dawa hizo ni za mimea ya asili kabisa ( pure herbal) ambazo hazijapita kiwandani ( hazija changanywa na kemikali za viwandani) na zinaondoa na kumaliza tatizo la vinyweleo moja kwa moja.   Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia namba zetu za simu: 0766 53 83 84. Na kwa taarifa zaidi kuhu

UHUSIANO KATI YA MSONGO WA MAWAZO NA TATIZO LA KUKONDA

        Kuna idadi kubwa ya watu ambao wana kabiliwa na tatizo la kuwa na uzito mdogo kupita kiasi. Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, kuwa na uzito mdogo kupita kiasi ni jambo linalo weza kuhatarisha afya ya mhusika Kama ilivyo kwa suala la kuwa na uzito mkubwa kupita kiasi, suala la kuwa na uzito mdogo kupita kiasi pia lina madhara mengi katika afya ya binadamu. MADHARA YA KUWA NA UZITO MDOGO KUPITA KIASI ( KUKONDA NA KUDHOOFU MWILI ) Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, yafuatayo ni madhara ya kiafya yanayo weza kumpata mtu mwenye tatizo la uzito mdogo kupita kiasi. 1. Kupungua na kudhoofika kwa kinga ya mwili 2. Kuwa katika hatari ya kushambuliwa na magonjwa ya mifupa kwa sababu mwili hushindwa kupokea na kutengeneza virutubisho muhimu vinavyo hitajika katika kuimarisha afya ya mifupa 3. Kuwa na nywele zisizo na afya ( Kinyonyoki) 4. Kuwa na ngozi isiyo na afya 5. Kuugua mara kwa mara kutokana na kuwa na kinga dhoofu ya mwili.

Uhusiano kati ya magonjwa ya moyo na tatizo la kukonda ( kupungua mwili)

        Kuna idadi kubwa ya watu ambao wana kabiliwa na tatizo la kuwa na uzito mdogo kupita kiasi. Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, kuwa na uzito mdogo kupita kiasi ni jambo linalo weza kuhatarisha afya ya mhusika Kama ilivyo kwa suala la kuwa na uzito mkubwa kupita kiasi, suala la kuwa na uzito mdogo kupita kiasi pia lina madhara mengi katika afya ya binadamu. MADHARA YA KUWA NA UZITO MDOGO KUPITA KIASI ( KUKONDA NA KUDHOOFU MWILI ) Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, yafuatayo ni madhara ya kiafya yanayo weza kumpata mtu mwenye tatizo la uzito mdogo kupita kiasi. 1. Kupungua na kudhoofika kwa kinga ya mwili 2. Kuwa katika hatari ya kushambuliwa na magonjwa ya mifupa kwa sababu mwili hushindwa kupokea na kutengeneza virutubisho muhimu vinavyo hitajika katika kuimarisha afya ya mifupa 3. Kuwa na nywele zisizo na afya ( Kinyonyoki) 4. Kuwa na ngozi isiyo na afya 5. Kuugua mara kwa mara kutokana na kuwa na kinga dhoofu ya mwili.

UHUSIANO KATI YA TATIZO LA PRESHA NA KUKONDA ( KUPUNGUA MWILI )

        Kuna idadi kubwa ya watu ambao wana kabiliwa na tatizo la kuwa na uzito mdogo kupita kiasi. Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, kuwa na uzito mdogo kupita kiasi ni jambo linalo weza kuhatarisha afya ya mhusika Kama ilivyo kwa suala la kuwa na uzito mkubwa kupita kiasi, suala la kuwa na uzito mdogo kupita kiasi pia lina madhara mengi katika afya ya binadamu. MADHARA YA KUWA NA UZITO MDOGO KUPITA KIASI ( KUKONDA NA KUDHOOFU MWILI ) Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, yafuatayo ni madhara ya kiafya yanayo weza kumpata mtu mwenye tatizo la uzito mdogo kupita kiasi. 1. Kupungua na kudhoofika kwa kinga ya mwili 2. Kuwa katika hatari ya kushambuliwa na magonjwa ya mifupa kwa sababu mwili hushindwa kupokea na kutengeneza virutubisho muhimu vinavyo hitajika katika kuimarisha afya ya mifupa 3. Kuwa na nywele zisizo na afya ( Kinyonyoki) 4. Kuwa na ngozi isiyo na afya 5. Kuugua mara kwa mara kutokana na kuwa na kinga dhoofu ya mwili.