Kwa ufupi kabisa tafsiri ya kisayansi ya tatizo la uume kwenda upande ni kwamba kwenye sehemu ambayo uume umepinda kuna uvimbe. Uvimbe huu unatokana na mafuta ambayo yameganda na kutengeneza kitu kama sponji. Matokeo yake ndio hivyo uume unapinda. Jambo hili husababisha tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume kwa mhusika. Mwanaume mwenye tatizo uume ulio pinda hawezi kuwa na nguvu za kiume sawa sawa kwa sababu huo uvimbe huzuia damu kutiririka kwa kasi yake kwenda kwenye misuli ya uume lakini pili tatizo hili huathiri utendaji kazi wa misuli ya uume na kuifanya kuwa dhaifu kama misuli ya mtu alie athirika na masterbation. SULUHISHO LA TATIZO LA UUME KWENDA UPANDE. SULUHISHO la tatizo la uume kwenda upande, ni kwa mhusika kutumia dawa ambayo itaenda kuyeyusha huo uvimbe wa mafuta kwenye uume. Kama una tatizo la uume kwenda upande na umehangaika kwa muda mrefu bila kupata suluhisho la tatizo lako, habari njema kwako ni kwamba, tunayo dawa nzuri ya asi...
Kisa hiki kinatoka kwenye kitabu chetu kiitwacho " WANAUME WANAO FANYA PUNYETO NDANI YA NDOA" na kina muhusu jamaa aitwae " Mashoto" ( Sio jina lake halisi) Kisome kisa hiki kama ifuatavyo: 👇👇 Jina langu naitwa Mashoto nimezaliwa mwaka 1985. Nianze kuelezea story yangu moja kwa moja. Kwa bahati mbaya Sana nilianza kujihusisha na ngono nikiwa bado mdogo Sana. Nadhani ilikuwa ni kwa sababu kuu mbili; Ya kwanza kwa sababu niliwahi sana kubalehe na sababu ya pili nilikuwa nina umbo kubwa ikilinganishwa na umri wangu. Nikiwa nna miaka 15 nilionekana kama mtu mwenye miaka 18 au 20 hivi. Wasichana wa umri wangu niliwaona watoto. Nakumbuka hadi tarehe ilikuwa tarehe 18 Novemba 2000. Nilikuwa tayari nimeshafanya mitihani yangu ya taifa ya kidato cha pili, na hapo nilikuwa nasubiri majibu ya kuingia kidato cha tatu. Mwanamke wa kwanza kutembea nae alikuwa Baa Medi. Kwa kumtazama alikuwa ananizidi kama miaka minne au mitano hivi. Nilikua naen...